Alhamisi , 23rd Dec , 2021

Msanii Marioo 'Toto Badi' anasema mwaka huu 2021 ameupiga mwingi sana kwenye upande wa muziki wake kutokana na mafanikio aliyoyapata.

Picha ya msanii Marioo

Kupitia Instagram yake Marioo ameandika kwamba

"Niseme asante kwa mwaka huu kusema kweli nimeupiga mwingi sana, tungekuwa na tuzo zangu zingekuwa tano" 

Hivi ndio vipengele alivyoviorodhesha Marioo endapo kungekuwa na tuzo hizo 
1. Best male Artist
2. Best song of the year - Bia Tamu
3. Best video of the year - Bia Tamu
4. Best Collaboration of the year - Loyalty
5. Audience Choice