Naibu Waziri wa Maji Maryprisca Mahundi
Agizo hilo amelitoa mara baada ya kukuta mradi unaendeshwa na pampu moja ambayo inazidiwa nguvu kutokana na wingi wa maji katika chanzo hicho kinachotokana na maji ya Ziwa Victoria.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa maji safi na usafi wa mazingira mjini Geita, Mhandisi Frank Changawa, amesema mradi huo walikabidhiwa Januari mwaka huu na kufikia mwezi Machi utakuwa umekamilika.