Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Profesa Mohamed Janabi,
Akizungumza na EATV Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo Profesa Mohamed Janabi, amesema teknolojia hiyo ambayo tayari wameanza kuitumia kwa wagonjwa itamaliza changamoto ya kukosekana Kwa damu zilizokuwa zinahitajika kwa wagonjwa kabla ya kuwafanyia upasuaji huo.