Wanafunzi waliofanya mtihani mwaka huu 2022 ni 36, kati ya hao 35 wamepata alama A na B mmoja.
Shule hii ilijengwa na watu wa Jamhuri ya China kati ya shule tatu zilizojengwa, Tanzania Bara na Visiwani, moja ilijengwa Kiteto Manyara, nyingine Mkoa wa Pwani na moja Zanzibar