Kupitia taarifa iliyotolewa na Idara ya mawasiliano CHADEMA, Mkuu wa idara ya habari Tumain Makene amesema Mh. Lowassa amepata wito kutoka kwa Mkurugenzi wa makosa ya jinai (DCI) ambaye amemtaka afike leo saa nne asubuhi bila kupewa maelezo wala ufafanuzi juu ya nini kitajiri katika mahojiano.