Masten Wanjala, Muuaji aliyekiri kuuwa watoto zaidi ya 10
Polisi wanasema Masten Wanjala, alifuatwa na wanakijiji katika mji wa Bungoma na kupigwa hadi kufa
Wanjala alikamatwa kwa mara ya kwanza mwezi Julai 2021, ambapo alikiri kutumia kemikali inayofanana na unga kwa wathiriwa kwa kuwalazimisha wainywe ama kuwapulizia usoni kabla ya kuwaua kwa kuwanyonga au kuwafyonza damu.